IQNA

Waislamu Milioni 3 wamesali ndani ya Rawdah katika kipindi cha miezi mitatu
TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa takwimu, zaidi ya Waislamu milioni tatu wameswali katika Rawdah Tukufu kwenye Msikiti wa Mtume (SAW), Al-Masjid an-Nabawi , mjini Madina katika miezi mitatu ya mwanzo ya mwaka huu wa 1444 Hijria Qamaria.
2022 Nov 10 , 12:53
Iran na Uturuki zijiandae kuimarisha uhusiano wa pande zote
Rais Raisi wa Iran katika mkutano na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo hapa Tehran na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki na kusisitiza kuwa: Iran na Uturuki zinapasa kujiandaa kuimarisha uhusiano wa sasa kuelekea kwenye ushirikiano wa pande zote.
2021 Nov 15 , 19:53
Iran itaendelea kuunga mkono kikamilifu mapambano ya taifa la Palestina
TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran usiku wa kuamkia leo imetoa taarifa rasmi ya kulipongeza taifa la Palesstina hasa wakazi mashujaa na wenye subira wa Ukanda wa Ghaza kwa kusimama imara mbele ya mashambulio ya kinyama ya Israel.
2021 May 22 , 21:12
Netanyahu na mkuu wa Mossad walitembelea Saudia kwa siri
Waziri Mkuu wa utawala huo Benjamini Netanyahu na baadhi ya maafisa wa Shirika la Ujasusi la Israel (MOSSAD) wamefanya ziara ya siri kwa wakati mmoja na Mike Pompeo Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani.
2020 Nov 23 , 20:22
Kongamano la Misri lajadili suala la utoaji wa fatuwa
TEHRAN (IQNA)-Kongamano moja la kimataifa limefanyika Cairo, Misri kwa lengo la kujadili kadhia ya utoaji wa fatuwa katika ulimwengu wa Kiislamu.
2018 Oct 18 , 20:03
Mashindano ya Qur'ani ya Walemavu wa Macho yamalizika Tehran
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya walemavu wa macho yamemalizika Jumapili mjini Tehran kwa kuteuliwa wawakilishi wa Iran katika Awamu ya Nne ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Walemavu wa Macho.
2018 Nov 06 , 16:13
Qarii wa Iran apata zawadi ya kwanza  katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani Malaysia
KUALA LUMPUR (IQNA)-Mashindano ya 59 ya Kimataifa ya Qur'ani yamemalizika Jumamosi katika sherehe iliyofanyika mjini Kuala Lumpur
2017 May 21 , 15:26
Nchi za Kiislamu zishirikiane katika vita dhidi ya ugaidi
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema ili kupambana na hatari ya ugaidi na muamala wa kindumakuwili wa madola makubwa, kuna haja kwa nchi za Kiislamu kuongeza ushirikiano wao katika fremu ya siasa za kutimia akili na za kimantiki.
2016 Apr 11 , 23:07
Uislamu utumike kukabiliana na fitina za wakufurishaji
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, kuimarisha harakati za Kiislamu ndiyo njia mwafaka ya kukabiliana na fitina za makundi ya wakufurishaji katika mataifa mbalimbali.
2016 Feb 23 , 22:12
Kikao cha Mabunge ya Nchi za Kiislamu chafanyika Iraq
Kikao cha 11 cha Umoja wa Mabunge ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kimefanyika katika mji mkuu wa Iraq, Baghdad.
2016 Jan 26 , 00:09
Duru ya 29 ya mkutano wa Umoja wa Kiislamu imeanza leo hapa mjini Tehran kwa hotuba ya Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye amesisitiza kuhusu ulazima wa Waislamu kuungana.
2015 Dec 27 , 11:30
Waislamu nchini Uingereza wamepuza mpango wa serikali ya nchi hiyo wa kupambana na ugaidi na wametangaza kuususia.
2015 Dec 26 , 19:57