IQNA

Utalii wa Kiislamu

Dubai yatangaza Msikiti wa kwanza wa chini ya maji duniani

DUBAI (IQNA) - Dubai inatazamiwa kuzindia msikiti wa kwanza duniani unaoelea kwa gharama inayokadiriwa ya takriban Dh55 milioni.
Waislamu India

Kiongozi wa Kashmir arejea msikiti wa kihistoria, aongoza Sala ya Ijumaa baada ya kuzuiliwa kwa miaka 4

SRINAGAR (IQNA) - Baada ya miaka minne ya kifungo cha nyumbani, kiongozi wa Kiislamu wa Kashmir anayeunga mkono uhuru wa uneoe hilo, Mirwaiz Umar Farooq,...
Watetezi wa Qur'ani Tukufu

Kuvunjia heshima Qur’ani ni kitendo cha chuki dhidi ya Uislamu kwa lengo la kuchochea uhasama

NEW YORK (IQNA) – Waziri Mkuu wa Malaysia Datuk Seri Anwar Ibrahim alishutumu vitendo vya kuvunjia heshima Qur'ani kuwa ni vitendo vya "chuki dhidi ya...
Waislamu Australia

Washindi wa Shindano la Qur'ani la Sydney 

CANBERRA (IQNA) - Mashindano ya Qur'ani yaliyoandaliwa mjini Sydney, Australia, yalihitimishwa katika sherehe ambapo washindi wa kwanza walitunukiwa.
Habari Maalumu
EU yasema vitendo kama kuvunjia heshima Qur’ani ni kwa maslahi ya magaidi
Diplomasia

EU yasema vitendo kama kuvunjia heshima Qur’ani ni kwa maslahi ya magaidi

NEW YORK (IQNA) - Vitendo kama vile kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu vinatumiwa na magaidi kwa maslahi yao, mkuu wa sera za kigeni wa EU alisema.
22 Sep 2023, 22:15
Jihad Islami  yaunda brigedi mpya kukabiliana na askari Israel katika Ukingo wa Magharibi
Mapambano ya Wapalestina

Jihad Islami yaunda brigedi mpya kukabiliana na askari Israel katika Ukingo wa Magharibi

TEHRAN (IQNA)- Brigedi Mpya imeundwa na harakati ya kupigania ukombozi wa Palestina ya Jihad Islami kukabiliana na Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel...
21 Sep 2023, 15:45
Viongozi wa Uturuki, Malaysia: Kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu   ni tishio kwa amani
Watetezi wa Qur'ani Tukufu

Viongozi wa Uturuki, Malaysia: Kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu ni tishio kwa amani

NEW YORK (IQNA) - Viongozi wa Uturuki na Malaysia wamelaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu hivi karibuni katika nchi za Magharibi na kusema vitendo hivyo...
21 Sep 2023, 17:55
Jeshi la Israel lawaua shahidi Wapalestina 4 Gaza, Ukingo wa Magharibi
Jinai za Israel

Jeshi la Israel lawaua shahidi Wapalestina 4 Gaza, Ukingo wa Magharibi

TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi vamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi Wapalestina wanne katika mashambulizi mawili tofauti katika eneo la Ukingo...
21 Sep 2023, 18:01
Rais wa Iran katika UN: Maadui hawatafanikiwa kamwe kupotosha ukweli wa Qur'ani Tukufu
Watetezi wa Qur'ani Tukufu

Rais wa Iran katika UN: Maadui hawatafanikiwa kamwe kupotosha ukweli wa Qur'ani Tukufu

TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa Iran amelihutubia Kikao cha 78 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kueleza kwamba,...
20 Sep 2023, 20:30
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa: Viongozi wa Kiislamu walaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu
Watetezi wa Qur'ani Tukufu

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa: Viongozi wa Kiislamu walaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu

NEW YORK (IQNA) - Viongozi kadhaa wa nchi Kiislamu duniani wamehutubu kwenye Kikao cha 78 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo wamelaani vikali kitendo...
20 Sep 2023, 22:30
Tafsiri ya Qur'ani ya asiyekuwa Mwislamu kwa Kijapani
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /29

Tafsiri ya Qur'ani ya asiyekuwa Mwislamu kwa Kijapani

TEHRAN (IQNA) – Qur'ani Tukufu imetafsiriwa kwa lugha ya Kijapani mara kadhaa, mojawapo ikiwa tarjuma ya Okawa Shumei, ambaye si Muislamu.
20 Sep 2023, 22:05
Al-Aqsa ni ya Waislamu, Kamati ya Masuala ya Kanisa la Palestina yasisitiza tena
Kadhia ya Palestina

Al-Aqsa ni ya Waislamu, Kamati ya Masuala ya Kanisa la Palestina yasisitiza tena

AL-QUDS (IQNA) - Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa al-Quds (Jerusalem) ni mahali pa ibada kwa Waislamu peke yao na ni haki takatifu isiyopingika kwao, mkuu...
20 Sep 2023, 22:38
Kinachowangoja wanaopinga dini
Shakhsia katika Qur'ani Tukufu /48

Kinachowangoja wanaopinga dini

TEHRAN (IQNA) – Katika historia, kumekuwa na makundi mbalimbali ya watu wanaopinga mitume wa kiungu na mafundisho yao.
20 Sep 2023, 22:16
Waislamu Wamarekani waishtaki FBI kwa orodha ya 'siri' ya kutotumia ndege

Waislamu Wamarekani waishtaki FBI kwa orodha ya 'siri' ya kutotumia ndege

TEHRAN (IQNA)- Kundi la utetezi wa Waislamu nchini Marekani limeishtaki Idara ya Upelelezi, FBI, katika jaribio la kukomesha utumizi wa orodha ya siri...
19 Sep 2023, 16:13
Raia wa Iran waungana katika kutia saini Ombi 'Kubwa Zaidi' la kupinga kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu
Watetezi wa Qur'ani Tukufu

Raia wa Iran waungana katika kutia saini Ombi 'Kubwa Zaidi' la kupinga kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu

TEHRAN (IQNA) - Raia wa Iran wameungana katika kutia saini ombi "kubwa zaidi" la kupinga kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu baada ya kurudiwa kwa vitendo...
18 Sep 2023, 20:57
Hatari za haraka yenye muelekeo hasi
Maadili katika Qur'ani Tukufu /27

Hatari za haraka yenye muelekeo hasi

TEHRAN (IQNA) – Watu wanahitaji utulivu na amani ya akili ili kufikia malengo yao ya kimaada na kiroho.
18 Sep 2023, 15:41
Qarii Mustafa Ismail; Mshindi wa nyoyo za wachamungu
Mkuu wa Redio ya Qur'an ya Cairo alieleza

Qarii Mustafa Ismail; Mshindi wa nyoyo za wachamungu

Ridha Abdus Salam, mkuu wa Redio ya Qur'ani ya Cairo, amemtaja Sheikh Mustafa Ismail kuwa ni msomaji mahiri wa Qur'ani Tukufu ambaye usomaji wake uliteka...
18 Sep 2023, 15:21
Msanii anayetaka kuwapa wahamiaji Waislamu sauti ashinda Australia
Waislamu Australia

Msanii anayetaka kuwapa wahamiaji Waislamu sauti ashinda Australia

CANBERRA (IQNA) – Khaled Sabsabi, msanii anayeishi Magharibi mwa Sydney ambaye amejaribu kuwapa sauti wahamiaji Waislamu wasiosikika, ameshinda tuzo ya...
18 Sep 2023, 21:22
Waislamu wa Ufaransa wanahitaji kanuni  mpya za kuendesha shughuli zao
Waislamu Ufaransa

Waislamu wa Ufaransa wanahitaji kanuni mpya za kuendesha shughuli zao

PARIS (IQNA) - Edouard Philippe, ambaye aliwahi kuwa waziri mkuu chini ya Rais wa Ufaransa Emanuel Macron kutoka 2017-2020, almeandika katika kitabu chake...
18 Sep 2023, 21:06
Surah An-Nas inatahadharisha kuhusu majaribu maovu
Sura za Qur'ani Tukufu /114

Surah An-Nas inatahadharisha kuhusu majaribu maovu

TEHRAN (IQNA) - Shetani ni adui aliyeapa wa wanadamu ambaye daima anajaribu kuwapoteza watu. Lakini pia kuna baadhi ya watu wanaotenda kama Shetani na...
18 Sep 2023, 14:01
Picha‎ - Filamu‎