IQNA

Msomi: Mtume Muhammad (SAW) alihimiza kuhusu kutunza mazingira

IQNA – Mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Imam Sadiq (AS) nchini Iran ameelezea Sira na mafundisho ya Mtume Muhammad (S.A.W.) kuhusu ulinzi wa mazingira,...

Morocco yaandaa Mashindano ya 19 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Mohammed VI

QNA – Toleo la 19 la Tuzo ya Kimataifa ya Mohammed VI ya Kuhifadhi, Kusoma, Tajweed, na Tafsiri ya Qur'ani lilifunguliwa Jumanne, Agosti 26, mjini Rabat,...

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu yanalenga kujenga uhusiano wa Kimataifa zaidi ya ushindani

IQNA – Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani kwa Wanafunzi Waislamu yanajitahidi kuimarisha uhusiano kati ya washiriki duniani kote badala ya kuwa mashindano...

Al-Azhar yalaani kitendo cha mwanasiasa Marekani kuteketeza nakala ya Qur'ani

IQNA – Kituo cha Al-Azhar cha Kupambana na Misimamo Mikali kimekemea vikali kitendo cha hivi karibuni cha kuchoma nakala ya Qur'ani kilichofanywa na mwanasiasa...
Habari Maalumu
Mwanazuoni: Wiki ya Umoja wa Kiislamu iwe Harakati Dhidi ya Wapinzani wa Uislamu

Mwanazuoni: Wiki ya Umoja wa Kiislamu iwe Harakati Dhidi ya Wapinzani wa Uislamu

IQNA – Msomi wa ngazi za juu wa Kiislamu Iran ametoa wito wa kufanya Wiki ya Umoja wa Kiislamu mwaka huu kuwa harakati kamili dhidi ya wapinzani wa Uislamu.
27 Aug 2025, 17:57
Mawkib za Kiarani zilihudumiwa watu Milioni 22 katika Arbaeen mwaka huu

Mawkib za Kiarani zilihudumiwa watu Milioni 22 katika Arbaeen mwaka huu

IQNA – Mawkib za Kiirani zilitoa huduma kwa zaidi ya watu milioni 22 wakati wa Arbaeen mwaka huu, kulingana na afisa mmoja.
27 Aug 2025, 18:15
Baraza la Kiislamu la Kosovo limeandaa Mashindano ya Sayansi ya Dini Pristina

Baraza la Kiislamu la Kosovo limeandaa Mashindano ya Sayansi ya Dini Pristina

IQNA – Shule ya Upili ya Kiislamu ya Alaeddin huko Pristina, mji mkuu wa Kosovo, imekaribisha mashindano makubwa ya mwaka ya sayansi ya dini hivi karibuni.
27 Aug 2025, 18:07
Mkutano wa Mwaka wa Jumuiya ya Kiislamu ya Amerika Kaskazini Utaanza Ijumaa

Mkutano wa Mwaka wa Jumuiya ya Kiislamu ya Amerika Kaskazini Utaanza Ijumaa

IQNA – Mkutano wa 62 wa Mwaka wa Jumuiya ya Kiislamu ya Amerika Kaskazini (ISNA) utaanza huko Rosemont, jimbo la Illinois, Marekani, Ijumaa hii.
27 Aug 2025, 18:01
Hasira zaenea baada ya mfuasi wa Trump anayeunga mkono Israel kutekelteza nakala ya Qur'ani

Hasira zaenea baada ya mfuasi wa Trump anayeunga mkono Israel kutekelteza nakala ya Qur'ani

IQNA – Kitendo cha kuivunjia heshima na kuteketeza moto nakala ya Qur’an ambacho kimetekelezwa mgombea wa kiti katika Bunge la Kongresila Marekani kwa...
27 Aug 2025, 17:45
Mashindano ya kuchagua wawakilishi wa Iran katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Waislamu

Mashindano ya kuchagua wawakilishi wa Iran katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Waislamu

IQNA – Hatua ya kuchagua wawakilishi wa Iran katika Mashindano ya Saba ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Waislamu imefanyika katika Shirika la Qur’ani...
26 Aug 2025, 15:55
Duru ya Kitaifa ya Mashindano ya Qur’ani ya Algeria

Duru ya Kitaifa ya Mashindano ya Qur’ani ya Algeria

IQNA – Mashindano ya kitaifa ya kuwania nafasi ya kushiriki katika Juma la 27 la Qur’ani Tukufu nchini Algeria yameanza leo Jumanne, kulingana na Wizara...
26 Aug 2025, 15:47
Sheikh Qassem: Hizbullah haitaweka chini silaha, haitaruhusu Israel kushambulia Lebanon itakavvyo

Sheikh Qassem: Hizbullah haitaweka chini silaha, haitaruhusu Israel kushambulia Lebanon itakavvyo

IQNA – Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sheikh Naim Qassem, amesisitiza tena msimamo wa harakati hiyo kukataa wito wa kusalimisha silaha zake.
26 Aug 2025, 15:42
Mkutano kuhusu ujenzi wa Misikiti na Husseiniya nchini Kuwait

Mkutano kuhusu ujenzi wa Misikiti na Husseiniya nchini Kuwait

IQNA – Mkutano wa kwanza wa timu iliyo na jukumu la kupanga ujenzi wa Husseiniya (kumbikidini katika madhehebu ya Shia) na Misikiti nchini Kuwait ulifanyika...
26 Aug 2025, 14:59
Kikao cha OIC chafanyika Jeddah kuhimiza hatua za kumaliza mauaji ya kimbari Gaza

Kikao cha OIC chafanyika Jeddah kuhimiza hatua za kumaliza mauaji ya kimbari Gaza

IQNA – Mkutano wa dharura wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama wa Shirika la Ushirikiano la Kiislamu (OIC) ulianza Jumatatu mjini Jeddah, Saudi...
26 Aug 2025, 09:26
Maandamano ya kuunga mkono Palestina huko Copenhagen yavutia maelfu

Maandamano ya kuunga mkono Palestina huko Copenhagen yavutia maelfu

IQNA – Maandamano ya kuunga mkono Palestina yalifanyika mjini Copenhagen, mji mkuu wa Denmark, ambapo waandamanaji zaidi ya 10,000 walitisha mwito wa kumaliza...
25 Aug 2025, 16:37
Wafanyakzi  3,500 wa kujitolea wa Hilali Nyekundu wamehudumia waumini huko Mashhad

Wafanyakzi 3,500 wa kujitolea wa Hilali Nyekundu wamehudumia waumini huko Mashhad

IQNA – Zaidi ya waajiriwa 3,500 na wafanyakazi wa misaada kutoka Shirika la Hilali Nyekundu ya Iran (IRCS) wamewahudumia waumini wanaotembelea Haram Takatifu...
25 Aug 2025, 16:31
Mji wa Madina wapokea idadi kubwa ya waumini wa Umrah

Mji wa Madina wapokea idadi kubwa ya waumini wa Umrah

IQNA – Idadi ya waumini wa Umrah wanaoingia katika jiji takatifu la Madina inaongezeka katika msimu mpya wa Umrah ulioanza baada ya Hija ya 2025.
25 Aug 2025, 16:22
PRC yalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Yemen

PRC yalaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Yemen

IQNA – Kamati za Upinzani za Kawaida (PRC), muungano wa makundi ya Kipalestina, zimelaani mashambulizi ya kijeshi ya utawala wa Israel yaliyolenga miundombinu...
25 Aug 2025, 16:17
Zaidi ya waumini milioni 5 wazuru Mashhad katika siku za mwisho za Safar

Zaidi ya waumini milioni 5 wazuru Mashhad katika siku za mwisho za Safar

IQNA – Zaidi ya waumini milioni 5.2 wameingia jiji takatifu la Mashhad, lililoko kaskazini-mashariki mwa Iran, kutoka maeneo mbalimbali katika siku za...
25 Aug 2025, 16:04
Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran litapambana na Marekani

Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran litapambana na Marekani

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Marekani inahujumu na kukabiliana na Iran kwa sababu inataka taifa...
24 Aug 2025, 20:29
Picha‎ - Filamu‎