IQNA

Sheikh wa Msikiti Mkuu wa Paris asema mwaka 2025 ulikuwa mgumu zaidi kwa Waislamu Ufaransa

IQNA – Sheikh Chems-Eddine Hafiz, mlezi wa Msikiti Mkuu wa Paris, amesema mwaka 2025 ulikuwa miongoni mwa miaka migumu zaidi kwa Waislamu nchini Ufaransa,...

Kiongozi wa Hizbullah:Jenerali Soleimani alikuwa nguzo ya Mhimili wa Muqawama

IQNA – Katibu Mkuu wa Hizbullah amemkumbuka Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani kwa kusifu nafasi yake ya kipekee katika kupinga Marekani, akieleza...

Watu 3,100 washiriki Itikafu katika Msikiti wa Jamkaran, Iran

IQNA – Naibu mkurugenzi wa kitamaduni wa Msikiti wa Jamkaran mjini Qom, Iran, amesema zaidi ya watu 16,000 wamesajiliwa kushiriki katika ibada ya Itikafu...

Hizbullah ya Lebanon yalaani uvamizi wa Marekani dhidi ya Venezuela

IQNA – Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, imelaani uvamizi wa Marekani dhidi ya Venezuela na mashambulizi ya miundombinu muhimu,...
Habari Maalumu
Qari wa Kimasri, Sheikh Ahmed Ahmed Nuaina, asoma Qur’ani Katika Msikiti wa Milwaukee

Qari wa Kimasri, Sheikh Ahmed Ahmed Nuaina, asoma Qur’ani Katika Msikiti wa Milwaukee

IQNA – Sheikh Ahmed Ahmed Nuaina, qari mashuhuri kutoka Misri, alisoma Qur’an katika msikiti wa Milwaukee, jimbo la Wisconsin, Marekani, Jumamosi jioni.
04 Jan 2026, 14:14
Kiongozi Muadhamu: Iran itampigisha magoti adui kwa Uwezo wa Mwenyezi Mungu

Kiongozi Muadhamu: Iran itampigisha magoti adui kwa Uwezo wa Mwenyezi Mungu

IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kwamba kwa kumtegemea Mwenyezi Mungu na kusimama pamoja na wananchi “Inshaallah, tutampigisha magoti...
03 Jan 2026, 20:11
Uadilifu; Mhimili wa Utawala wa Kibinadamu wa Imam Ali (AS)

Uadilifu; Mhimili wa Utawala wa Kibinadamu wa Imam Ali (AS)

IQNA – Imam Ali (AS) si mfano tu wa uchaji Mungu kama mtu binafsi na usafi wa moyo, bali pia ni kielelezo adimu cha uongozi wa haki, uwajibikaji na unaomweka...
03 Jan 2026, 19:54
Shambulio dhidi ya Venezuela laonesha Marekani ni chhanzo cha uovu
Ansarullah ya Yemen

Shambulio dhidi ya Venezuela laonesha Marekani ni chhanzo cha uovu

IQNA – Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetoa tamko kali kulaani shambulio la kijeshi lililofanywa na Marekani dhidi ya Venezuela, ikilitaja kuwa kitendo...
03 Jan 2026, 20:28
Wanaharakati wa Palestina wamsifu Meya Mamdani wa New York kwa  hatua dhidi ya Israel

Wanaharakati wa Palestina wamsifu Meya Mamdani wa New York kwa hatua dhidi ya Israel

IQNA-Wanaharakati wa kutetea haki za Wapalestina wamemsifu Meya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, kwa kufuta amri za kiutawala zilizokuwa zikizuia shughuli...
03 Jan 2026, 20:46
Sheikh Ali Mayunga, mfasiri maarufu wa Qur'ani Tukufu Afrika Mashariki ameaga dunia
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun

Sheikh Ali Mayunga, mfasiri maarufu wa Qur'ani Tukufu Afrika Mashariki ameaga dunia

IQNA- Jamii ya Kiislamu Afrika Mashariki na hasa nchini Tanzania imekumbwa na msiba mkubwa kufuatia kufariki dunia kwa mwanazuoni mashuhuri, na mfasiri...
02 Jan 2026, 17:03
Kampeni ya kuchangia Ibada ya Itikafu

Kampeni ya kuchangia Ibada ya Itikafu

IQNA-Kampeni ya ‘Nadhiri ya Itikafu’, ambapo watu wanachangia kugharamia ibada ya Itikafu misikitini imezinduliwa nchini Iran. Itikafu ni kujitenga kwa...
02 Jan 2026, 18:44
Qari kutoka Iran asoma Qur'ani katika hafla ya usiku wa kuamkia mwaka mpya Bosnia

Qari kutoka Iran asoma Qur'ani katika hafla ya usiku wa kuamkia mwaka mpya Bosnia

IQNA-Qari kutoka Iran ameshiriki katika usomaji Qur’an Tukufu katika hafla maalum iliyofanyika mjini Kakani, Bosnia na Herzegovina, usiku wa kuamkia Mwaka...
02 Jan 2026, 18:36
Tamasha la kimataifa la ‘Roho ya Unabii’ lazinduliwa Karbala

Tamasha la kimataifa la ‘Roho ya Unabii’ lazinduliwa Karbala

IQNA-Toleo la nane la tamasha la kimataifa la kitamaduni kwa wanawake, liitwalo ‘Roho ya Unabii’, limezinduliwa mjini Karbala, Iraq, siku ya Alhamisi.
02 Jan 2026, 18:51
Hamas imepinga vikali hatua ya Israel ya kujitwalia mamlaka juu ya Msikiti wa Ibrahimi

Hamas imepinga vikali hatua ya Israel ya kujitwalia mamlaka juu ya Msikiti wa Ibrahimi

Amri ya hivi karibuni ya utawala wa  Israel, iliyondoa mamlaka ya manispaa ya al-Khalil (Hebron) katika maamuzi ya mipango kuhusu eneo nyeti la msikiti...
02 Jan 2026, 18:03
Rais wa Somalia: Israel inataka kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina hadi 'Somaliland'

Rais wa Somalia: Israel inataka kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina hadi 'Somaliland'

IQNA-Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia amezinukuu ripoti za kiitelijinsia na kusema kuwa eneo lililojitenga la na nchi hiyo la Somaliland limekubali...
01 Jan 2026, 15:44
Akiwa ameshika Qur’ani Tukufu, Mamdani aandika historia kama meya Mwislamu wa jiji la New York

Akiwa ameshika Qur’ani Tukufu, Mamdani aandika historia kama meya Mwislamu wa jiji la New York

IQNA – Katika hafla iliyovunja desturi za karne nyingi, Zohran Mamdani alianza rasmi muhula wake kama meya wa Jiji la New York siku ya Alhamisi kwa kuapa...
01 Jan 2026, 14:19
Israel yalaaniwa kwa kupiga marufuku mashirika ya misaada Gaza

Israel yalaaniwa kwa kupiga marufuku mashirika ya misaada Gaza

IQNA – Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi wa Kipalestina ameonya kwamba vizuizi vipya vilivyowekwa na Israel vinakwamisha kabisa...
01 Jan 2026, 15:10
Somaliland: Mradi wa Pamoja wa Utawala wa Kizayuni na UAE

Somaliland: Mradi wa Pamoja wa Utawala wa Kizayuni na UAE

IQNA-Hatua ya kichokozi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kutambua eneo la Somalia la 'Somaliland' kama nchi huuru kunahusishwa na mradi mpana...
01 Jan 2026, 15:02
Kituo Kipya cha Kuhifadhi Qur’ani Chazinduliwa Somalia

Kituo Kipya cha Kuhifadhi Qur’ani Chazinduliwa Somalia

IQNA – Kituo kipya cha kuhifadhi Qur’an kimefunguliwa katika eneo la Kahda, jimbo la Banadir, Somalia.
31 Dec 2025, 15:05
Al-Azhar na Radio ya Qur’ani Misri Kuandaa Kurekodi Qiraa Mpya

Al-Azhar na Radio ya Qur’ani Misri Kuandaa Kurekodi Qiraa Mpya

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri pamoja na Radio ya Qur’ani ya taifa hilo, hivi karibuni wataanza mradi wa kurekodi qiraa mpya za Qur’an...
31 Dec 2025, 14:51
Picha‎ - Filamu‎