Habari Maalumu
Diplomasia
NEW YORK (IQNA) - Vitendo kama vile kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu vinatumiwa na magaidi kwa maslahi yao, mkuu wa sera za kigeni wa EU alisema.
22 Sep 2023, 22:15
Mapambano ya Wapalestina
TEHRAN (IQNA)- Brigedi Mpya imeundwa na harakati ya kupigania ukombozi wa Palestina ya Jihad Islami kukabiliana na Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel...
21 Sep 2023, 15:45
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
NEW YORK (IQNA) - Viongozi wa Uturuki na Malaysia wamelaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu hivi karibuni katika nchi za Magharibi na kusema vitendo hivyo...
21 Sep 2023, 17:55
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi vamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi Wapalestina wanne katika mashambulizi mawili tofauti katika eneo la Ukingo...
21 Sep 2023, 18:01
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa Iran amelihutubia Kikao cha 78 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na kueleza kwamba,...
20 Sep 2023, 20:30
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
NEW YORK (IQNA) - Viongozi kadhaa wa nchi Kiislamu duniani wamehutubu kwenye Kikao cha 78 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ambapo wamelaani vikali kitendo...
20 Sep 2023, 22:30
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /29
TEHRAN (IQNA) – Qur'ani Tukufu imetafsiriwa kwa lugha ya Kijapani mara kadhaa, mojawapo ikiwa tarjuma ya Okawa Shumei, ambaye si Muislamu.
20 Sep 2023, 22:05
Kadhia ya Palestina
AL-QUDS (IQNA) - Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa al-Quds (Jerusalem) ni mahali pa ibada kwa Waislamu peke yao na ni haki takatifu isiyopingika kwao, mkuu...
20 Sep 2023, 22:38
Shakhsia katika Qur'ani Tukufu /48
TEHRAN (IQNA) – Katika historia, kumekuwa na makundi mbalimbali ya watu wanaopinga mitume wa kiungu na mafundisho yao.
20 Sep 2023, 22:16
TEHRAN (IQNA)- Kundi la utetezi wa Waislamu nchini Marekani limeishtaki Idara ya Upelelezi, FBI, katika jaribio la kukomesha utumizi wa orodha ya siri...
19 Sep 2023, 16:13
Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Raia wa Iran wameungana katika kutia saini ombi "kubwa zaidi" la kupinga kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu baada ya kurudiwa kwa vitendo...
18 Sep 2023, 20:57
Maadili katika Qur'ani Tukufu /27
TEHRAN (IQNA) – Watu wanahitaji utulivu na amani ya akili ili kufikia malengo yao ya kimaada na kiroho.
18 Sep 2023, 15:41
Mkuu wa Redio ya Qur'an ya Cairo alieleza
Ridha Abdus Salam, mkuu wa Redio ya Qur'ani ya Cairo, amemtaja Sheikh Mustafa Ismail kuwa ni msomaji mahiri wa Qur'ani Tukufu ambaye usomaji wake uliteka...
18 Sep 2023, 15:21
Waislamu Australia
CANBERRA (IQNA) – Khaled Sabsabi, msanii anayeishi Magharibi mwa Sydney ambaye amejaribu kuwapa sauti wahamiaji Waislamu wasiosikika, ameshinda tuzo ya...
18 Sep 2023, 21:22
Waislamu Ufaransa
PARIS (IQNA) - Edouard Philippe, ambaye aliwahi kuwa waziri mkuu chini ya Rais wa Ufaransa Emanuel Macron kutoka 2017-2020, almeandika katika kitabu chake...
18 Sep 2023, 21:06
Sura za Qur'ani Tukufu /114
TEHRAN (IQNA) - Shetani ni adui aliyeapa wa wanadamu ambaye daima anajaribu kuwapoteza watu. Lakini pia kuna baadhi ya watu wanaotenda kama Shetani na...
18 Sep 2023, 14:01