IQNA

Kikao cha Madina kujadili fursa za kuboresha Hija ya Umra

Kikao cha Madina kujadili fursa za kuboresha Hija ya Umra

IQNA – Kikao cha kwanza cha Jukwaa la Hija na Umrah kimepangwa kuanza Jumatatu ijayo, Aprili 22, katika mji mtakatifu wa Madina, Saudi Arabia.
11:02 , 2024 Apr 18
Operesheni ya Iran ya Ahadi ya Kweli imesembaratisha dhana potofu ya kutoshindwa Israel

Operesheni ya Iran ya Ahadi ya Kweli imesembaratisha dhana potofu ya kutoshindwa Israel

IQNA – Mchambuzi wa masuala ya kisiasa Lebanon amepongeza shambulio la hivi karibuni la Iran dhidi ya Israel kwa kutumia makombora na ndege zisizo na akisema kwamba limesambaratisha dhana potofu ya kutoshindwa kijeshi utawala wa Kizayuni wa Israel.
10:52 , 2024 Apr 18
Bango | Ya Rasulullah (SAW); Neno la Siri la Operesheni ya

Bango | Ya Rasulullah (SAW); Neno la Siri la Operesheni ya "Ahadi ya Kweli"

Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walio pamoja naye wana nguvu mbele ya makafiri, na wanahurumiana wao kwa wao. Sura Al Fath, aya ya 29
10:30 , 2024 Apr 18
Msomi wa Yemen: 'Ahadi ya Kweli' haikuwa tu operesheni ya kulipiza kisasi

Msomi wa Yemen: 'Ahadi ya Kweli' haikuwa tu operesheni ya kulipiza kisasi

IQNA - Profesa wa chuo kikuu cha Yemeni amesema "Operesheni ya Ahadi ya Kweli" ya kijeshi ya Iran dhidi ya Israeli ilikuwa zaidi ya shambulio la kulipiza kisasi.
22:59 , 2024 Apr 17
UN: Watu Milioni 2 huko Gaza wanapata matatizo makubwa ya kimaisha kila siku

UN: Watu Milioni 2 huko Gaza wanapata matatizo makubwa ya kimaisha kila siku

IQNA - Umoja wa Mataifa umeonya kuhusu hali mbaya katika Ukanda wa Gaza ambapo watu wanahangaika maisha kila siku, ukitangaza kuwa utazindua ombi la kimataifa la dola bilioni 2.8 kwa Gaza na Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu.
17:57 , 2024 Apr 17
Fatwa Milioni 1.5 hutolewa katika lugha 12 nchini Misri kila mwaka

Fatwa Milioni 1.5 hutolewa katika lugha 12 nchini Misri kila mwaka

IQNA - Kituo cha Darul Iftaa cha Misri kimetoa Fatwa milioni 1.5 mshauri wa Mufti Mkuu wa nchi hiyo alisema.
17:48 , 2024 Apr 17
Mafundisho ya Quran kuhusu Nidhamu ya Kihisia

Mafundisho ya Quran kuhusu Nidhamu ya Kihisia

IQNA – Mafundisho ya Qur’ani Tukufu yanatupa miongozo na kutoa kielelezo cha nidhamu ya kihisia, kutusaidia kuzuia kuathiriwa na mihemko katika hali tofauti.
20:59 , 2024 Apr 16
Nukta nane kuhusu Shambulio la Kulipiza kisasi la Iran dhidi ya Israel

Nukta nane kuhusu Shambulio la Kulipiza kisasi la Iran dhidi ya Israel

IQNA - Mchambuzi wa Lebanon ameorodhesha nukta nane kuhusu mashambulizi ya kulipiza kisasi wa Iran dhidi ya utawala haramu wa Israel ambayo yalikuja baada ya mashambulizi ya Israel kwenye ubalozi mdogo wa Iran nchini Syria.
20:22 , 2024 Apr 16
Qari Hosseinipour wa Iran akisoma aya za Surah At-Taghabun (+Video)

Qari Hosseinipour wa Iran akisoma aya za Surah At-Taghabun (+Video)

IQNA - Qari mashuhuri wa Iran Seyed Mohammad Hosseinipour hivi karibuni alisoma aya za Surah At-Taghabun katika Qur'ani Tukufu.
20:03 , 2024 Apr 16
Vikao vya Qur'ani katika Haram ya Imam Ridha (AS) kuenzi operesheni ya Iran dhidi ya Israel

Vikao vya Qur'ani katika Haram ya Imam Ridha (AS) kuenzi operesheni ya Iran dhidi ya Israel

IQNA - Msururu wa vikao vha kusoma  Qur'ani Tukufu ambavyo vimepewa jina la "Ahadi ya Kweli" vinafanyika katika Haram Takatifu ya Imam Ridha (AS) huko Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran.
19:56 , 2024 Apr 16
Daraja la Golden Gate la San Francisco lafungwa kuuunga mkono Gaza (+Video)

Daraja la Golden Gate la San Francisco lafungwa kuuunga mkono Gaza (+Video)

IQNA - Barabara kuu ya 101 ya San Francisco kwenye daraja la Golden Gate ilifungwa na waandamanaji wanaounga mkono Palestina wakitaka kukomesha uungaji mkono wa Marekani kwa utawala katili wa Israel ambao unaendeleza vita vya mauaji ya kimbari Gaza.
16:51 , 2024 Apr 16
Mufti wa Oman apongeza hatua ya Iran kulipiza kisasi dhidi ya utawala wa Israel

Mufti wa Oman apongeza hatua ya Iran kulipiza kisasi dhidi ya utawala wa Israel

IQNA-Mufti Mkuu wa wa Oman amekaribisha na kupongeza mashambulizi ya Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
16:30 , 2024 Apr 16
Onyo la Iran kwa Marekani: Msithubutu kuchukua hatua za kijeshi

Onyo la Iran kwa Marekani: Msithubutu kuchukua hatua za kijeshi

IQNA-Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameionya Marekani kuhusu kuanzisha hatua za kijeshi dhidi ya Iran baada ya operesheni yake ya kisheria ya hivi karibuni ya kulipiza kisasi dhidi ya utawala ghasibu wa Israel, mshirika mkuu wa kieneo wa Washington.
16:41 , 2024 Apr 15
Iran yaonya itatoa jibu kali iwapo utawala wa Israel utafanya harakati yoyote ya kifidhuli

Iran yaonya itatoa jibu kali iwapo utawala wa Israel utafanya harakati yoyote ya kifidhuli

IQNA-Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utafanya harakati yoyote ya kifidhuli utakabiliwa na jibu madhubuti, zito na kali zaidi.
19:54 , 2024 Apr 14
Qur'ani Tukufu  inasemaje kuhusu nidhamu

Qur'ani Tukufu inasemaje kuhusu nidhamu

IQNA – Qur’ani Tukufu, pamoja na kuangazia mpangilio katika uumbaji wa ulimwengu wa asili, inawaalika wanadamu kwenye mfululizo wa maadili, tabia na maelekezo ambayo huleta utaratibu na nidhamu.
14:58 , 2024 Apr 14
1