IQNA

Ayatullah Khamenei: Israel

Ayatullah Khamenei: Israel "lazima iadhibiwe na kutiwa adabu" kwa kushambulia Ubalozi wa Iran

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei anasema utawala wa Kizayuni wa Israel "lazima uadhibiwe na kutiwa adabu" kwa shambulio lake baya dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran katika mji mkuu wa Syria, Damascus.
12:05 , 2024 Apr 10
Rais wa Iran: Ni wajibu kwa nchi za Kiislamu kukomesha jinai za Israel huko Gaza

Rais wa Iran: Ni wajibu kwa nchi za Kiislamu kukomesha jinai za Israel huko Gaza

IQNA-Rais wa Iran, Ebrahim Raisi, amesema ni wajibu wa kibinadamu na kidini kwa nchi za Kiislamu kukomesha mauaji ya kimbari ya miezi kadhaa ya utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza.
10:34 , 2024 Apr 10
Wanafunzi Milioni 3 Iran wahudhuria vikao vya Qur'ani kwa ajili ya mashahidi wa Gaza

Wanafunzi Milioni 3 Iran wahudhuria vikao vya Qur'ani kwa ajili ya mashahidi wa Gaza

IQNA - Programu khitma ya Qur'ani zilifanyika Jumatatu katika shule zaidi ya 20,000 nchini Iran na nchi kadhaa duaniani kuwakumbuka mashahidi mabarobaro Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
20:48 , 2024 Apr 09
Wananchi wa Iran kusherehekea Idul Fitr Jumatano 10 Aprili

 

Wananchi wa Iran kusherehekea Idul Fitr Jumatano 10 Aprili  

IQNA – Hilali ya mwezi wa Shawwal imeandamana leo jioni nchini Iran na kwa msingi huo Jumatano Aprili 10 2024 itakuwa Mosi Shawwal 1445 Hijria Qamaria na siku kuu ya Idul Fitri.
20:32 , 2024 Apr 09
Mwezi wa Ramadhani Duniani Kote 1445 Hijria (2024) Katika Picha

Mwezi wa Ramadhani Duniani Kote 1445 Hijria (2024) Katika Picha

IQNA - Mamilioni ya Waislamu duniani kote husherehekea mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa matukio tofauti kama vile usomaji wa Qur'ani, futari ya pamoja na sala za jamaa.
20:19 , 2024 Apr 09
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 29

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 29

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 29 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
17:41 , 2024 Apr 09
Nasrallah: Jibu la Iran kwa hujuma ya Israel ni haki ya kisheria

Nasrallah: Jibu la Iran kwa hujuma ya Israel ni haki ya kisheria

IQNA- Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrallah amesema, haki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kutoa jibu kwa uchokozi uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa kushambulia ubalozi wake mdogo mjini Damascus ni haki yenye uhalali wa kisheria.
17:39 , 2024 Apr 09
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 29

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 29

Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
04:36 , 2024 Apr 09
Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 28

Kila siku na Qur'ani: Qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 28

IQNA – Hii ni qiraa ya Tarteel ya Juzuu ya 28 ya Qur'ani ya Qari mashuhuri wa Iran Hamidreza Ahmadivafa.
08:52 , 2024 Apr 08
Iran haitaingia vita vya moja kwa moja na utawala wa Israel

Iran haitaingia vita vya moja kwa moja na utawala wa Israel

IQNA - Kamanda katika Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) amesema Jamhuri ya Kiislamu haitajihusisha na vita vya moja kwa moja na utawala haramu wa Israel na kwamba jibu la shambulio la Israel dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran nchini Syria halitakuwa kwa  makombora na ndege zisizo na rubani pekee.
06:50 , 2024 Apr 08
Bango | Ipokee dua yangu

Bango | Ipokee dua yangu

...Ewe Mola wetu Mlezi, na ipokee dua yangu. Sura Ibrahim Aya ya 40
06:23 , 2024 Apr 08
Maqari wa Iran na Kuwait wasoma Qur'ani kwa mtindo wa Munafisah katika Kipindi cha TV cha Mahfel (+Video)

Maqari wa Iran na Kuwait wasoma Qur'ani kwa mtindo wa Munafisah katika Kipindi cha TV cha Mahfel (+Video)

IQNA - Qari wa Iran Ustadh Hamed Shakernejad na Qari wa Kuwait Sheikh Abdullah Abul Hassan wamesoma Qur'ani kwa mtindo wa Munafisah katika kipindi maarufu cha televisheni cha Qur'ani nchini Iran kinachojulikana kama Mahfel.
06:14 , 2024 Apr 08
Wahifadhi Qur'ani, wasomaji waenziwa katika kambi ya wakimbizi Gaza

Wahifadhi Qur'ani, wasomaji waenziwa katika kambi ya wakimbizi Gaza

IQNA - Kundi la wahifadhi na wasomaji Qur'ani wamehitimu kozi ya Qur'ani iliyofanyika katika kambi moja ya wakimbizi huko Gaza.
06:03 , 2024 Apr 08
Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 28

Dua za Kila Siku za Mwezi wa Ramadhani- Siku ya 28

IQNA-Dua hizi za kila siku za Mwezi wa Ramadhani husomwa toka mwanzo ya tarehe mosi Ramadhani hadi siku ya mwisho katika mwezi huu mtukufu. Kila dua ina siku yake, na inaweza kusomwa mara nyingi kadiri ya uwezo wa mtu mwenyewe.
05:47 , 2024 Apr 08
Mashindano ya 3 ya Kimataifa ya  Qur'ani ya Meshkat yamalizika Tehran

Mashindano ya 3 ya Kimataifa ya Qur'ani ya Meshkat yamalizika Tehran

IQNA - Washindi wa Awamu ya 3 ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Meshkat yamalizika, washindi watajwa na kutunukiwa zawadi.
16:32 , 2024 Apr 07
7