Kikao cha Mwisho cha Tarteel ya Qur'ani Tukufu katika Haram ya Bibi Maasoumah SA mjini Qum
QOM (IQNQ) - Kikao cha mwisho cha kisomo cha Qur'ani Tukufu cha tarteel kimefanyika Jumapili katika Haram Takatifu ya Bibi Maasoumah mjini Qum. Siku Kuu ya Idul Fitr itaadhimishwa nchini Iran Jumanne.