Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Meya wa jiji la Uhispania la Barcelona ametangaza kusimamisha uhusiano na Tel Aviv kutokana na Israel kukiuka haki za watu wa Palestina kwa njia "iliyoratibiwa".
Habari ID: 3476542 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/10
TEHRAN (IQNA) - Shirikisho la Soka la Palestina limekaribisha hatua ya FC Barcelona ya Uhispania kukataa kucheza mechi ya kirafiki na timu ya Beitar ya utawala haramu wa Israeli katika mji wa Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3474112 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/18
IQNA (TEHRAN)- Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa, lengo la vitendo vinavyofanywa na kundi la kigaidi la ISIS ni kuchafua haiba na sura halisi ya Uislamu.’
Habari ID: 3471129 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/19