Harakati za Qur'ani
IQNA – Haram Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq imerejesha programu yake ya kila siku ya Khatmul Qur'an.
Habari ID: 3478752 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/30
Arbaeen
IQNA - Balozi wa Iran nchini Iraq Mohammad Kazem Al Sadeq amesema kuimarika kila mwaka mjumuiko na matembezi ya Arbaeen kama mfano wa utamaduni adhimu wa Kiislamu.
Habari ID: 3478699 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/19
Sala ya Idu
IQNA - Sala ya Idul Fitr katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq ilishuhudia mahudhurio makubwa ya waumini na wafanyaziyara siku ya Jumatano.
Habari ID: 3478671 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/04/11
Harakati za Qur'ani
IQNA - Astan (Mfawidhi) wa Haram tukufu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq, ilimtaja mwandishi mashuhuri wa kaligrafia, Uthman Taha kama shakhsia wa Qur'ani wa mwaka.
Habari ID: 3478413 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/25
NEW DELHI (IQNA) – Maelfu ya Waislamu mjini Mumbai, India, walijiunga na Matembezi ya Arubaini kutoa heshima kwa Imam Hussein (AS) na masahaba wake, licha ya hali ya hewa ya mvua.
Habari ID: 3477576 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/10
KARBALA (IQNA) - Wale wanaohudumu katika moja ya Moukeb kubwa katika mji mtukufu wa Karbala waliwaaga mahujaji waliokuja kwa ajiri ya Ziyara ya Arbaeen kwa kuwapa zawadi ya nakala za Quran Tukufu.
Habari ID: 3477574 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/09
KARBALA (IQNA) - Zaidi ya wafanyaziyara milioni 22 walitembelea mji Mtukufu wa Karbala katika msimu wa mwaka huu wa Arubaini hadi sasa.
Habari ID: 3477570 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/09/09
Arbaeen 1445
KARBALA (IQNA) – Kongamano la kwanza la wanaharakati katika uwanja wa Elimu ya Kiislamu litafanyika katika mji mtakatifu wa Karbala wakati wa msimu wa Arabeen.
Habari ID: 3477499 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/26
Arbaeen 1445
BAGHDAD (IQNA) – Wasimamizi wa Haram Takatifu Imam Ali (AS) huko Najaf na Hadhrat Abbas (AS) huko Karbala, Iraq wametangaza mipango ya kuwahudumia wanaozuru maeneo mawili matakatifu wakati wa msimu wa Arbaeen.
Habari ID: 3477481 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/08/22
Muharram 1445
TEHRAN (IQNA)- Wafanyaziara milioni 16 wameingia Karbala, Iraq katika siku 10 za kwanza za mwezi wa Muharram mwaka huu wa 1445 Hijria Qamaria.
Habari ID: 3477358 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/30
Muharram 1445
TEHRAN (IQNA)- Katika siku kama hii ya leo miaka 1384 iliyopita kulingana na kalenda ya Hijria, moja kati ya vita mashuhuri katika historia ya Uislamu na mwanadamu, vilitokea baina ya majeshi ya haki na majeshi ya batili katika ardhi ya Karbala huko Iraq.
Habari ID: 3477348 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/28
Turathi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Jumba la Makumbusho la Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Hussein AS huko Karbala, Iraq imekabidhiwa nakala adimu ya Qur’ani Tukufu iliyopambwa kwa dhahabu na fedha.
Habari ID: 3477028 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/21
Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq utakuwa mwenyeji wa awamu ya pili ya Maonyesho ya kimataifa ya Qur’ani Tukufu ndani ya wiki chache kuanzia sasa.
Habari ID: 3476364 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/06
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelitaja tukio la kimiujiza la maandamano na matembezi ya Arbaeen (Arubaini) ya Imam Hussein AS kuwa ni ishara ya irada ya Mwenyezi Mungu ya kunyanyua juu bendera ya Uislamu ya Ahlul Bayt-Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yao-.
Habari ID: 3475797 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/17
Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA)- Gavana wa Karbala, Iraq ametangaza kuwa, wafanyaziara kutoka nchi 80 katika maadhimisho ya mwaka huu za Arbaeen mwaka huu wa 1444 Hijria Qamari sawa na 2022 Miladia.
Habari ID: 3475792 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/16
Wahusika wa Karbala /3
TEHRAN (IQNA) – Tukio la Karbala lina mafunzo mengi kwa wanadamu. Katika Vita vya Karbala vya mwaka 61 Hijria au 680 Miladia, mrengo wa haki na ukweli ulikabiliana na mrengo wa batili na uwongo.
Habari ID: 3475784 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/14
Wahusika wa Karbala /1
TEHRAN (IQNA) – Tukio la Karbala lina mafunzo mengi kwa wanadamu. Katika Vita vya Karbala vya mwaka 61 Hijria Qamaria au 680 Miladia, pande za ukweli zilikabili upande wa batili na uongo.
Habari ID: 3475763 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/10
Arbaeen ya Imam Hussein AS
TEHRAN (IQNA) - Maonyesho ya Qur'ani Tukufu yamewekwa kwenye barabara kati ya miji mitukufu ya Najaf na Karbala nchini Iraq wakati wa msimu wa Arbaeen.
Habari ID: 3475761 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/10
TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa mamlaka za Iraq, zaidi ya wafanyaziarai milioni sita walitembelea maeneo matakatifu ya Karbala siku ya Jumanne, Siku ya Ashura.
Habari ID: 3475606 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/11
Ashura
TEHRAN (IQNA)- Leo ni Jumatatu tarehe 10 Mfunguo Nne Muharram 1444 Hijria Qamaria inayosadifiana na tarehe 8 Agosti 2022. Hii ni Siku ya Ashura ambapo Waislamu na wapenda haki kote duniani hukumbuka kuuawa shahidi Imam Hussein AS na wafuasi wake katika jangwa la Karbala.
Habari ID: 3475595 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/08