iqna

IQNA

makka
Mji wa Makka
TEHRAN (IQNA) – Mvua kwa kawaida hunyesha katika mji mtakatifu wa Makka kwa kiasi kidogo kati ya Novemba na Januari. Ijumaa, Novemba 11, ilikuwa siku ya neema ya mvua katika mji mtakatifu.
Habari ID: 3476080    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/13

Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Waandaaji wa Mashindano ya 42 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Mfalme Abdul Aziz huko Makka, Saudi Arabia wametangazwa na kutunukiwa zawadi.
Habari ID: 3475843    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/26

Turathi za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Misikiti mitano ya kihistoria inayohusiana na zama za Mtume Muhammad (SAW) katika eneo la Makka itakarabatiwa.
Habari ID: 3475715    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/01

Kaaba Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Maafisa kadhaa wa Saudia walihudhuria sherehe za kila mwaka za kuosha Kaaba Tukufu katika mji wa Makka Jumanne asubuhi.
Habari ID: 3475630    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/16

Njama za Wazayuni
TEHRAN (IQNA) –Saudi Arabia inasema imemkamata raia wake ya ambaye alimuwezesha mwandishi habari Yahudi Muisraeli kuingia katika mji mtakatifu wa Makka, jambo ambalo ni kinyume cha sheria kwani wasio Waislamu hawaruhusiwi kuingia katika eneo hilo takatifu.
Habari ID: 3475522    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/22

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) – Ofisi ya Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Hija imeandaa mahafali za qiraa ya Qur’ani Tukufu katika mji mtakatifu wa Makka.
Habari ID: 3475513    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/17

Umrah
TEHRAN (IQNA) – Wizara ya Hija na Umra ya Saudi Arabia ilitangaza kurejesha utoaji wa visa za Umrah baada ya kusitishwa wakati wa msimu wa Hija.
Habari ID: 3475511    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/16

Teknolojia
TEHRAN (IQNA) – Huduma mpya ya kisasa imezinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Makka, Masjid al-Haram, mwaka huu ili kusambaza Misahafu kwa waumini na Mahujaji.
Habari ID: 3475493    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/12

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA)- Mahujaji Wairani wameshiriki katika mjumuiko wa kujibari na kujiweka mbali na washirikina (bar’aat min-al-mushrikeen) siku ya Ijumaa wakati wa Ibada ya Hija mwaka huu wa 1443 Hijria Qamaria
Habari ID: 3475482    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/09

Kiongozi Muadhamu Katika Ujumbe wa Hija
TEHRAN (IQNA)- Katika ujumbe wake kwa Mahujaji wa Nyumba Tukufu ya Mwenyezi Mungu, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, nchi za Magharibi zenye kiburi zimezidi kudhoofika siku baada ya siku katika eneo letu nyeti, na hivi karibuni katika dunia nzima.
Habari ID: 3475473    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/08

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA)- Qarii wa Kimataifa wa Qur'ani Tukufu Ustadh Yousef Jafarzadeh hivi karibuni alisoma aya ya 125 ya Surah Baqarah katika Msikiti Mtakatifu wa Makka, Al Masjidul Haram.
Habari ID: 3475467    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/05

Ibada ya Hija na Teknolojia
TEHRAN (IQNA) – Saudi Arabia ime yamepeleka roboti 11 smart ili kuzalisha msikiti mkubwa wa Makka wakati wa ibada ya Hija mwaka huu.
Habari ID: 3475458    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/03

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) - Maelfu ya waumini wa dini tukufu ya Kiislamu kutoka kona zote za dunia wameendelea kuwasili katika mji mtakatifu wa Makka Ijumaa, wakiwa ni miongoni mwa Waislamu milioni moja wanaotarajiwa kushiriki ibada ya Hija mwaka huu wa 2022 ambapo hii ni mara ya kwanza baada ya miaka miwili ya kuzuia mahujaji kutoka nje ya Saudia kutokana na janga la Covid.
Habari ID: 3475446    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/01

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) – Muislamu Muingereza mwenye asili ya Iraq aliwasili Makka siku ya Jumapili baada ya kuanza safari ya miguu zaidi ya miezi 10 iliyopita nchini Uingereza.
Habari ID: 3475441    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/29

Ripoti yafichua
TEHRAN (IQNA)- Mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, Mohammad Bin Salman, anatekeleza mpango ambao utawawezesha Waisraeli kununua milki katika miji mitakatifu ya Makka na Madina
Habari ID: 3475415    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/23

Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA)- Operesheni ya kuosha na kusafisha Ka’aba Tukufu huko Makka imekamilika ili kuandaa mahali patakatifu kwa ajili ya Hija ijayo.
Habari ID: 3475335    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/04

TEHRAN (IQNA)- Hivi sasa roboti zinatumika kuwaongoza Waislamu wanaofika katika Msikiti Mtakatifu wa Makka kwa ajili ya kutekeleza ibada ya Hija Ndogo ya Umrah.
Habari ID: 3475258    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/16

TEHRAN (IQNA) – Zaidi ya watu 40,000 kutoka nchi mbali mbali duniani wametembelea Maonyesho ya Qur'ani Tukufu ambayo yamefanyika kaitka ukumbi wa Four Points wa Hoteli ya Sheraton Al Naseem katika mji mtakatifu wa Makka nchini Saudia.
Habari ID: 3475196    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/02

TEHRAN (IQNA)- Zaidi ya Misahafu 50,000 imesambwazwa kwa waumini waliofika Msikiti Mtakatifu wa Makka, Al Masjid Al Haram kwa ajili ya Umrah au Hija ndogo wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3475194    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/01

TEHRAN (IQNA) - Zaidi ya milo milioni 3 ya futari ilitolewa kwenye Msikiti Mkuu wa Makka katika siku 20 za mwanzo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka huu wa 1423 Hijria Qamaria.
Habari ID: 3475164    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/24